Posts

SELL YOURSELF FIRST BEFORE THE PRODUCT

 *SELL YOURSELF FIRST BEFORE THE PRODUCT*  Makala hii imeandaliwa na Emmanuel Mwambene~ Mwandishi wa Vitabu & Mfanyabiashara.  Kauli “Sell yourself first before the product” ina uzito mkubwa sana katika biashara. Ina maana kwamba kabla mteja hajavutiwa na bidhaa au huduma yako, lazima kwanza akuamini wewe kama mtu. Hii ni kanuni ya msingi katika uuzaji (sales) na ujasiriamali kwa ujumla. Hapa ni jinsi inavyofanya kazi kibiashara: --- 1. Uaminifu ni msingi wa biashara Wateja hawanunui tu bidhaa – wananunua imani kwa muuzaji. Kama huonekani mwaminifu, mkweli, au mwenye kujali, hata bidhaa nzuri inaweza kukataliwa. --- 2. Mahusiano kabla ya biashara Watu hununua kwa watu wanaowapenda, wanaowaamini, au walio na mahusiano nao. Ukijijenga vizuri – kwa mawasiliano mazuri, kuaminika, na huruma – bidhaa zako zitafuata tu. --- 3. Wewe ni chapa ya biashara yako Haswa kwa biashara ndogo ndogo au biashara za mtu binafsi, wewe mwenyewe ni nembo ya kwanza. Tabia zako, mawasiliano, ...

https://www.freelancer.com/navigation/updates

 https://www.freelancer.com/navigation/updates

How to Make Money Through Blogging

How to Make Money Through Blogging By Emmanuel Mwambene Blogging offers a unique opportunity to turn your passions and knowledge into a steady income source. While it’s not an overnight success story, with dedication and strategy, you can grow a blog that attracts readers and revenue. Here’s a step-by-step guide to help you start: 1. Choose a Profitable Niche Focus on a specific topic that you’re passionate about and that has an audience with spending power. Whether it’s personal finance, fitness, tech, or lifestyle, pick a niche that resonates both with you and potential readers. 2. Create Valuable Content High-quality content is the backbone of any successful blog. Focus on helping your readers solve problems or learn something new. Consistent, useful content builds credibility, attracts readers, and keeps them coming back. 3. Drive Traffic to Your Blog Utilize social media, SEO, and email newsletters to bring traffic to your blog. Engaging with your readers, understanding their need...

MAMBO YA KUZINGATIA KAMA UNATAKA KUINGIA KWENYE ULIMWENGU WA BIASHARA

 MAMBO YA KUZINGATIA KAMA UNATAKA KUINGIA KWENYE ULIMWENGU WA BIASHARA Kuna mambo mengi ya kuzingatia kabla hujajiingiza kwenye biashara. Nimekuwekea baadhi ya mambo hayo hapa chini. Haya ni yale niliyojifunza on the ground ndani ya miaka yangu michache hii ya ujasiriamali toka mwaka 2021 katika biashara mbali mbali nilizofanya. Ukiyazingatia utaona faida yake.  1. HAKIKISHA UNA ELIMU YA BIASHARA Simaanishi diploma sijui certificate ya chuo au zile notes za Commerce. No. Hiyo siyo elimu ninayomaanisha. Namaanisha aina ya elimu kwa vitendo kama vile apprenticeship. Yaani kujifunza kwa mtu taratibu uone jinsi biashara inavyofanyika. Kama hilo ni gumu kulingana na mazingira basi hakikisha biashara unayotaka kuifanya au mradi unaotaka kuanzisha una watu wanaofanya kitu hicho hicho walio tayari kukupa elimu kila siku hasa miaka miwili ya kwanza katika jambo hilo. Watu watakaokuwa tayari kukupa siri za mafanikio bila kukuficha. Watu watakaokuwa tayari kukushika mkono kwa dhati mpak...

Life Begins When Fear Ends

 Life Begins When Fear Ends: The Power Of Success https://a.co/d/hr80FKU

TYPES OF SEX

 DIFFERENT TYPES OF SEX IN MARRIAGE                                  By                   Emmanuel Mwambene  1. RECONCILIATION SEX:- Sex is a most potent weapon for diluting and difusing misunderstanding in Marriage. If you don't use SEX to settle some stubborn crisis, then you are missing out and not maximising it. In addition when you both settle a misunderstanding, the person at fault could initiate sex as a way to make up to the other who was on the receiving side of the conflict. 2. HEALING SEX:- There are some sicknesses and diseases that are cured by good Sex I mean very good Sex. Healing sex is gentle, it is full of grace and elegance. You don't rush it. Mbanu. You do it softly and it hits the bull's eye. Please Husbands, don't throw your weight on her if it's for healing, let the bed carry your weight 100%. 3. PUNISHMENT SEX:- When I ...

WHY PEOPLE SHOULD READ BOOKS

 Here are 10 reasons why people should read books:  1. Knowledge and Information: Books are an invaluable source of knowledge and information on a wide range of subjects, allowing readers to expand their understanding of the world. 2. Improves Vocabulary and Language Skills: Reading helps improve vocabulary, language comprehension, and writing skills, contributing to better communication abilities. 3. Mental Stimulation: Engaging with books stimulates the brain, improving cognitive function and potentially reducing the risk of cognitive decline as we age. 4. Stress Reduction: Reading can be a great way to relax and de-stress, providing an escape from the pressures of daily life. 5. Enhances Empathy: Fictional literature, in particular, allows readers to step into the shoes of characters from different backgrounds, enhancing empathy and understanding of others. 6. Enhances Focus and Concentration: Reading demands focus and attention, which can help improve concentration and att...

FOCUS ON WHAT MATTERS

 10 Lessons From "Focus on What Matters" by Darius Foroux: 1. Identify your priorities: Take the time to reflect on what truly matters to you and what you want to achieve in life. This clarity will help you make better decisions and allocate your time and energy effectively. 2. Eliminate distractions: Minimize or eliminate distractions that hinder your focus and productivity. This includes reducing time spent on social media, turning off notifications, and creating a conducive environment for deep work. 3. Practice essentialism: Embrace the concept of essentialism, which means focusing on the vital few things that bring the most value and impact to your life. Say no to non-essential tasks and commitments. 4. Set clear goals: Define clear and specific goals that align with your priorities. This will help you stay focused and motivated, as well as measure your progress along the way. 5. Develop a routine: Establishing a daily routine can help you create structure and consistenc...

The Articles is about the Review of the book called CLEAR THINKING by Shane Parrish.

"Clear Thinking" by Shane Parrish is a comprehensive guide to improving critical thinking, decision-making, and problem-solving skills. Drawing from psychology, philosophy, and cognitive science, Parrish offers practical strategies for enhancing mental clarity and making better choices.  Here are ten key lessons and insights from the book: 1. Understanding Cognitive Biases: Parrish explains the concept of cognitive biases—systematic errors in thinking that can lead to irrational decision-making. By becoming aware of common biases such as confirmation bias, availability bias, and anchoring bias, readers can mitigate their impact on their thinking. 2. Developing Intellectual Humility: Intellectual humility involves recognizing the limits of one's knowledge and being open to new ideas and perspectives. Parrish encourages readers to cultivate intellectual humility as a foundation for clear thinking and effective decision-making. 3. Seeking Diverse Perspectives: Parrish emphas...

MAISHA HUANZA HOFU INAPOKWISHA

 Katika Maisha Yangu nimeshuhudia watu wengi wapo hai lakini hawaishi.  Katika Kitabu changu kimeeleza Ili Uanze Kuishi ufanye nini Asante  Emmanuel Mwambene Mwandishi